NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akilakiwa na Osmund Ueland Mshauri wa Shamba sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani Iringa Februari 23 2018. Shamba hilo ni la kilimo cha biashara ni maalum kwa ajili ya kina mama wanaojitegemea, watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika Wilaya ya Iringa hasa wa shule za primary na awali. Pamoja naye (kushoto) Mwasisi wa Ilula Orphan Program (IOP), Berit Skaare.
 NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akipata maelezo ya ujenzi wa makazi maalumu ya kujifunzia kutoka kwa Osmund Ueland Mshauri wa Shamba (kulia) kwenye eneo la shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani Iringa Februari 23 2018. Shamba hilo ni la kilimo cha biashara ni maalum kwa ajili ya kina mama wanaojitegemea, watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika Wilaya ya Iringa hasa wa shule za primary na awali. Pamoja naye (kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey Kirenga na Mwasisi wa Ilula Orphan Program (IOP) Berit Skaare. 
 NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akikagua sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani Iringa Februari 23 2018. Shamba hilo ni la kilimo cha biashara ni maalum kwa ajili ya kina mama wanaojitegemea, watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika Wilaya ya Iringa hasa wa shule za primary na awali. Pamoja naye (kulia) ni Mshauri wa Shamba hilo, Osmund Ueland, Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey Kirenga (nyuma kulia), Mwasisi wa Ilula Orphan Program (IOP), Berit Skaare na viongozi wengine wa serikali wa mkoa huo
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiwabadilishana mawazo na wakina mama wanajitegemea 'Single mothers' baada ya kukagua sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 mkoani Iringa kwa ajili ya kilimo cha biashara maalum kwa ajili yao, watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika Wilaya ya Iringa hasa wa shule za primary na awali. 
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...