Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akimkabidhi kitabu kinachoonyesha vivutio tulivyonavyo Tanzania bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika kesho katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Mabondia Ibrahim Maukola (kushoto) na Ibrahim Tamba (kulia) wakionyesha uwezo wao baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuonyesha pambano la ngumi kati yao kabla ya pambano la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Idara ya Michezo Bw. Yusuph Singo (kulia) akizungumza wakati wa kuwapima uzita mabodia Ibrahimu Class wa Tanzania na Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini wanaotarajia kupambana kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...