Katika pita pita ya leo, Kamera ya Glogu ya Jamii imezinasa taswira za vijana hawa (majina yao hayakupatikana kwa haraka) wakiwa katika eneo la Bonde la Jangwani jijini Dar es salaam wakivua samaki ambao haikufahamika kwa haraka ni wa aina gani, katika maji mengi yaliyotuwama katika eneo hilo. Uvuvi wa aina hii katika maji hayo unaweza kuhatarisha afya yao kwa kupata magonjwa ya mlipuko ikiwemo Kipindupindu na Kichocho. 
 Vijana hao wakiendelea kusaka vitoweo.
Wakitega nyavu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...